Zaburi 33:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Lenye furaha ni taifa lenye Mungu wake ni Yehova,+Watu wenye amechagua kuwa mali yake mwenyewe.+ Zaburi 37:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Kwa maana waovu wataharibiwa,+Lakini wale wenye kumutumainia Yehova watariti dunia.+ Zaburi 37:37 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 37 Angalia mutu mwenye hana lawama,*Na uendelee kumuangalia munyoofu,+Kwa maana wakati wenye kuja wa mutu huyo utakuwa wenye amani.+ Zaburi 146:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Mwenye furaha ni ule mwenye Mungu wa Yakobo ni musaidizi wake,+Mwenye anamutumainia Yehova Mungu wake,+
37 Angalia mutu mwenye hana lawama,*Na uendelee kumuangalia munyoofu,+Kwa maana wakati wenye kuja wa mutu huyo utakuwa wenye amani.+
5 Mwenye furaha ni ule mwenye Mungu wa Yakobo ni musaidizi wake,+Mwenye anamutumainia Yehova Mungu wake,+