Isaya 33:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kwa maana Yehova ni Muamuzi wetu,+Yehova ni Mupaji-sheria wetu,+Yehova ni Mufalme wetu;+Yeye Ndiye atatuokoa.+ Ufunuo 11:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, ule mwenye iko*+ na mwenye alikuwa, kwa sababu umechukua nguvu yako kubwa na umeanza kutawala ukiwa mufalme.+
22 Kwa maana Yehova ni Muamuzi wetu,+Yehova ni Mupaji-sheria wetu,+Yehova ni Mufalme wetu;+Yeye Ndiye atatuokoa.+
17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, ule mwenye iko*+ na mwenye alikuwa, kwa sababu umechukua nguvu yako kubwa na umeanza kutawala ukiwa mufalme.+