Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:66
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 66 Katika siku yenye ilifuata,* aliacha watu waende, na wakamubariki mufalme na kuenda kwao wakishangilia na kufurahi katika moyo kwa sababu ya wema wote+ wenye Yehova alikuwa amemuonyesha Daudi mutumishi wake na Israeli watu wake.

  • Zaburi 13:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Nitamuimbia Yehova, kwa maana amenipatia zawabu nyingi.*+

  • Zaburi 31:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Wema wako ni mwingi sana!+

      Umeuweka kwa ajili ya wale wenye kukuogopa,+

      Na umeuonyesha mbele ya wanadamu wote, kwa ajili ya wale wenye kukukimbilia wewe.+

  • Isaya 63:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Nitataja matendo ya Yehova ya upendo mushikamanifu,

      Matendo ya Yehova yenye yanastahili sifa,

      Kwa sababu ya mambo yote yenye Yehova ametutendea,+

      Mambo mengi ya muzuri yenye ametendea nyumba ya Israeli,

      Kulingana na rehema yake na upendo wake mwingi mushikamanifu.

  • Yeremia 31:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe kwenye nafasi ya juu ya Sayuni+

      Na kungaa kwa sababu ya wema wa* Yehova,

      Kwa sababu ya nafaka na divai mupya+ na mafuta,

      Na kwa sababu ya watoto wa kundi na wa mifugo.+

      Watakuwa* kama bustani yenye kunyweshwa maji muzuri,+

      Na hawataregea tena hata siku moja.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine