7 Nitataja matendo ya Yehova ya upendo mushikamanifu,
Matendo ya Yehova yenye yanastahili sifa,
Kwa sababu ya mambo yote yenye Yehova ametutendea,+
Mambo mengi ya muzuri yenye ametendea nyumba ya Israeli,
Kulingana na rehema yake na upendo wake mwingi mushikamanifu.