Zaburi 126:2 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kichekoNa ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+ Wakati huo walisema kati ya mataifa: “Yehova amewatendea mambo makubwa.”+ Isaya 26:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Ee Yehova, utatupatia amani,+Kwa sababu kila kitu chenye tumefanyaWewe ndiye umekitimiza kwa ajili yetu.
2 Wakati huo kinywa chetu kilijaa kichekoNa ulimi wetu vigelegele vya shangwe.+ Wakati huo walisema kati ya mataifa: “Yehova amewatendea mambo makubwa.”+
12 Ee Yehova, utatupatia amani,+Kwa sababu kila kitu chenye tumefanyaWewe ndiye umekitimiza kwa ajili yetu.