Zaburi 51:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Uniokoe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu utangaze kwa shangwe haki yako.+ Ufunuo 15:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mutumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makubwa na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za haki na za kweli,+ Mufalme wa umilele.+
14 Uniokoe kutokana na hatia ya damu,+ Ee Mungu, Mungu wa wokovu wangu,+Ili ulimi wangu utangaze kwa shangwe haki yako.+
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mutumwa wa Mungu na wimbo wa Mwana-Kondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makubwa na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za haki na za kweli,+ Mufalme wa umilele.+