2 Samweli 22:50, 51 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 50 Ndiyo sababu nitakushukuru, Ee Yehova, kati ya mataifa,+Na nitaimbia jina lako sifa:*+ 51 Anatenda matendo makubwa ya wokovu* kwa ajili ya mufalme wake;+Anamuonyesha mutiwa-mafuta wake upendo mushikamanifu,Kwa Daudi na uzao wake* milele.”+ 1 Mambo ya Nyakati 16:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Mumuimbie, mumuimbie sifa,*+Mufikiri sana* juu ya kazi zake zote za ajabu.+ Waroma 15:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 na ili mataifa yamutukuze Mungu kwa sababu ya rehema yake.+ Kama vile imeandikwa: “Ndiyo sababu nitakukubali waziwazi kati ya mataifa, na nitaimba sifa kwa ajili ya jina lako.”+
50 Ndiyo sababu nitakushukuru, Ee Yehova, kati ya mataifa,+Na nitaimbia jina lako sifa:*+ 51 Anatenda matendo makubwa ya wokovu* kwa ajili ya mufalme wake;+Anamuonyesha mutiwa-mafuta wake upendo mushikamanifu,Kwa Daudi na uzao wake* milele.”+
9 na ili mataifa yamutukuze Mungu kwa sababu ya rehema yake.+ Kama vile imeandikwa: “Ndiyo sababu nitakukubali waziwazi kati ya mataifa, na nitaimba sifa kwa ajili ya jina lako.”+