Mwanzo 15:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Kisha mambo hayo neno la Yehova likakuja kwa Abramu katika maono, na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Zawabu yako itakuwa kubwa sana.”+ Mwanzo 15:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Naye akakuwa na imani katika Yehova,+ na Mungu akamuhesabia hilo kuwa haki.+
15 Kisha mambo hayo neno la Yehova likakuja kwa Abramu katika maono, na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Zawabu yako itakuwa kubwa sana.”+