-
Isaya 33:15, 16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Ule mwenye anaendelea kutembea katika haki,+
Mwenye anasema mambo ya unyoofu,+
Mwenye anakataa faida yenye haiko ya haki, ya upunjaji,
Mwenye mikono yake inakataa rushwa* kuliko kuikamata,+
Mwenye anafunga sikio lake lisisikilize mazungumuzo ya umwangaji wa damu,
Na mwenye anafunga macho yake yasione mambo ya mubaya
16 —Atakaa katika nafasi za juu;
Kimbilio lake salama litakuwa* katika ngome zenye miamba,
Atapewa mukate wake,
Na maji yake yenye ameweka hayataisha hata kidogo.”+
-