Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Yehova ananipatia zawabu kulingana na haki yangu;+

      Ananilipa kulingana na kutokuwa na hatia kwa* mikono yangu.+

  • Isaya 33:15, 16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Ule mwenye anaendelea kutembea katika haki,+

      Mwenye anasema mambo ya unyoofu,+

      Mwenye anakataa faida yenye haiko ya haki, ya upunjaji,

      Mwenye mikono yake inakataa rushwa* kuliko kuikamata,+

      Mwenye anafunga sikio lake lisisikilize mazungumuzo ya umwangaji wa damu,

      Na mwenye anafunga macho yake yasione mambo ya mubaya

      16 ⁠—​Atakaa katika nafasi za juu;

      Kimbilio lake salama litakuwa* katika ngome zenye miamba,

      Atapewa mukate wake,

      Na maji yake yenye ameweka hayataisha hata kidogo.”+

  • Matayo 5:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 “Wenye furaha ni wale wenye moyo safi,+ kwa sababu watamuona Mungu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine