-
Malaki 3:5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 “Nitawakaribia ili niwahukumu, na nitakuwa shahidi wa haraka, juu ya walozi,+ juu ya wazinifu, juu ya wale wenye kuapa kwa uongo,+ juu ya wenye kumupunja mufanyakazi,+ mujane, na mutoto mwenye hana baba,*+ na juu ya wale wenye kukataa kumusaidia* mugeni.+ Watu hao hawakuniogopa,” ni vile Yehova wa majeshi anasema.
-