17 “Haupaswe kupotosha hukumu ya mukaaji mugeni ao ya mutoto mwenye hana baba,*+ na haupaswe kukamata nguo ya mujane kuwa kitu chenye kinawekeshwa kwa ajili ya mukopo.+
27 Namna ya ibada* yenye kuwa safi na yenye haina uchafu kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuhangaikia mayatima+ na wajane+ katika taabu yao,+ na kuendelea kubakia bila doa kutokana na ulimwengu.+