Zaburi 92:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Wakitangaza kwamba Yehova ni munyoofu. Yeye ni Mwamba wangu,+ mwenye ndani yake hakuna ukosefu wa haki. Zaburi 119:68 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 68 Wewe ni mwema+ na kazi zako ni za muzuri. Unifundishe masharti yako.+ Zaburi 145:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Yehova ni mwema kwa wote,+Na rehema yake inaonekana katika kazi zake zote. Matendo 14:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 hata kama hakukosa kutoa ushahidi+ juu yake mwenyewe kwa kutenda mema, aliwapatia ninyi mvua kutoka mbinguni na vipindi vya kuzaa matunda,+ na kuwapatia chakula kwa wingi na kujaza mioyo yenu furaha.”+
15 Wakitangaza kwamba Yehova ni munyoofu. Yeye ni Mwamba wangu,+ mwenye ndani yake hakuna ukosefu wa haki.
17 hata kama hakukosa kutoa ushahidi+ juu yake mwenyewe kwa kutenda mema, aliwapatia ninyi mvua kutoka mbinguni na vipindi vya kuzaa matunda,+ na kuwapatia chakula kwa wingi na kujaza mioyo yenu furaha.”+