Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  8 Yehova ni mwema na munyoofu.+

      Ndiyo sababu anafundisha watenda-zambi namna ya kuishi.+

  • Nahumu 1:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Yehova ni mwema,+ naye ni ngome katika siku ya taabu.+

      Hasahau* wenye wanatafuta kimbilio katika yeye.+

  • Matayo 5:44, 45
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 44 Lakini, mimi ninawaambia ninyi: Muendelee kupenda maadui wenu+ na kusali kwa ajili ya wale wenye kuwatesa ninyi,+ 45 ili muonyeshe kuwa ninyi ni wana wa Baba yenu mwenye kuwa mbinguni,+ kwa sababu yeye anaangazia jua lake watu waovu na watu wazuri, tena ananyesha mvua juu ya wenye haki na wenye hawako wenye haki.+

  • Matendo 14:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 hata kama hakukosa kutoa ushahidi+ juu yake mwenyewe kwa kutenda mema, aliwapatia ninyi mvua kutoka mbinguni na vipindi vya kuzaa matunda,+ na kuwapatia chakula kwa wingi na kujaza mioyo yenu furaha.”+

  • Yakobo 1:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Kila zawadi ya muzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu,+ inashuka kutoka kwa Baba wa miangaza ya mbinguni,+ mwenye habadilike ao kugeuka kama kivuli chenye kugeuka-geuka.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine