Zaburi 32:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Mwishowe niliungama zambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Na ulisamehe kosa la zambi zangu.+ (Sela) Zaburi 51:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Geuzia uso wako mbali* na zambi zangu,+Na ufutilie mbali* makosa yangu yote.+
5 Mwishowe niliungama zambi yangu kwako;Sikufunika kosa langu.+ Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+ Na ulisamehe kosa la zambi zangu.+ (Sela)