1 Samweli 2:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Analinda hatua za washikamanifu wake;+Lakini waovu watanyamazishwa katika giza,+Kwa maana haiko nguvu ndiyo inafanya mwanadamu ashinde.+ Mezali 10:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Mwenye kutembea kwa uaminifu-mushikamanifu atatembea kwa usalama,+Lakini mwenye kupotosha njia zake atajulikana.+
9 Analinda hatua za washikamanifu wake;+Lakini waovu watanyamazishwa katika giza,+Kwa maana haiko nguvu ndiyo inafanya mwanadamu ashinde.+
9 Mwenye kutembea kwa uaminifu-mushikamanifu atatembea kwa usalama,+Lakini mwenye kupotosha njia zake atajulikana.+