Zaburi 91:11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 11 Kwa maana ataamuru malaika wake+ kwa ajili yako,Ili wakulinde katika njia zako zote.+ Zaburi 97:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Enyi wenye kumupenda Yehova, muchukie mambo ya mubaya.+ Analinda uzima wa* washikamanifu wake;+Anawaokoa katika mukono wa* waovu.+ Zaburi 121:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Hataruhusu hata kidogo muguu wako utereze.*+ Yeye mwenye kukulinda hatasinzia hata kidogo.
10 Enyi wenye kumupenda Yehova, muchukie mambo ya mubaya.+ Analinda uzima wa* washikamanifu wake;+Anawaokoa katika mukono wa* waovu.+