-
1 Samweli 26:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Lakini, Daudi akamuambia Abishai: “Usimufanye mubaya, kwa maana ni nani anaweza kuinua mukono wake juu ya mutiwa-mafuta wa Yehova+ na abakie bila hatia?”+ 10 Daudi akaendelea kusema: “Kama vile hakika Yehova anaishi, Yehova mwenyewe atamupiga na kumuua,+ ao siku yake itafika+ naye atakufa, ao atashuka kuenda katika vita na kuuawa.+
-