-
Mwanzo 13:8, 9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Kwa hiyo Abramu akamuambia Loti:+ “Tafazali, ugomvi usikuwe kati yangu na wewe na kati ya wachungaji wangu na wachungaji wako, kwa maana sisi ni ndugu. 9 Je, inchi yote haiko mbele yako? Tafazali, ujitenge na mimi. Ukienda upande wa kushoto, mimi nitaenda upande wa kuume; lakini ukienda upande wa kuume, mimi nitaenda upande wa kushoto.”
-
-
Mezali 25:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Usipeleke haraka-haraka mashitaka kwenye tribinali,
Kwa maana utafanya nini kisha kama jirani yako anakupatisha haya?+
-