Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 13:8, 9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kwa hiyo Abramu akamuambia Loti:+ “Tafazali, ugomvi usikuwe kati yangu na wewe na kati ya wachungaji wangu na wachungaji wako, kwa maana sisi ni ndugu. 9 Je, inchi yote haiko mbele yako? Tafazali, ujitenge na mimi. Ukienda upande wa kushoto, mimi nitaenda upande wa kuume; lakini ukienda upande wa kuume, mimi nitaenda upande wa kushoto.”

  • Mezali 25:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  8 Usipeleke haraka-haraka mashitaka kwenye tribinali,

      Kwa maana utafanya nini kisha kama jirani yako anakupatisha haya?+

  • Matayo 5:39
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 39 Lakini, mimi ninawaambia: Musipingane na mutu muovu, lakini kila mutu mwenye anakupiga kofi kwenye shavu la kuume, umugeuzie pia lile lingine.+

  • Waroma 12:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Kama inawezekana, kwa kadiri inawategemea ninyi, mukuwe wenye kufanya amani na watu wote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine