Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mezali 24:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Usiseme: “Nitamutendea kama vile alinitendea;

      Nitamulipa kwa sababu ya mambo yenye alifanya.”*+

  • Isaya 50:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Nilipatia mugongo wangu wale wenye walikuwa wananipiga

      Na mashavu yangu wale wenye walingoa ndevu zangu.

      Sikuficha uso wangu kutokana na mambo yenye kufezehesha na kutokana na mate.+

  • Luka 6:29
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Mutu mwenye anakupiga kwenye shavu moja, umugeuzie pia lile lingine; na mwenye anakamata nguo yako ya inje, usimukatalie pia nguo yako ya ndani.+

  • Waroma 12:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Musimulipe mutu yeyote uovu kwa uovu.+ Mufanye mambo ya muzuri mbele ya macho ya* watu wote.

  • 1 Petro 2:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Wakati alikuwa anatukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Wakati alikuwa anateseka,+ hakuogopesha watu, lakini alijitia katika mikono ya Ule mwenye anahukumu+ kwa haki.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine