2 Timoteo 2:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Kwa maana mutumwa wa Bwana hana lazima ya kupigana, lakini anapaswa kuwa mupole* kwa wote,+ mwenye uwezo wa kufundisha, mwenye anajizuia wakati wanamukosea,+ Waebrania 12:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Mufuatie amani pamoja na watu wote+ na utakaso*+ wenye bila huo hakuna mutu mwenye atamuona Bwana. Yakobo 3:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Zaidi ya hayo, tunda la haki linapandwa katika hali zenye amani+ kwa ajili ya* wale wenye kufanya amani.+
24 Kwa maana mutumwa wa Bwana hana lazima ya kupigana, lakini anapaswa kuwa mupole* kwa wote,+ mwenye uwezo wa kufundisha, mwenye anajizuia wakati wanamukosea,+
14 Mufuatie amani pamoja na watu wote+ na utakaso*+ wenye bila huo hakuna mutu mwenye atamuona Bwana.
18 Zaidi ya hayo, tunda la haki linapandwa katika hali zenye amani+ kwa ajili ya* wale wenye kufanya amani.+