Zaburi 111:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Kumuogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin] Wale wote wenye kushika maagizo yake wanaonyesha ufahamu muzuri.+ ת [Taw] Sifa yake inadumu milele. 2 Wakorinto 7:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuko na ahadi hizi,+ tujisafishe kila uchafu wa mwili na roho,+ tukikamilisha utakatifu katika kumuogopa Mungu.
10 Kumuogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+ ש [Sin] Wale wote wenye kushika maagizo yake wanaonyesha ufahamu muzuri.+ ת [Taw] Sifa yake inadumu milele.
7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuko na ahadi hizi,+ tujisafishe kila uchafu wa mwili na roho,+ tukikamilisha utakatifu katika kumuogopa Mungu.