Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 8:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Basi Farao akasema: “Kesho.” Kwa hiyo Musa akasema: “Itakuwa kama vile unasema ili ujue kwamba hakuna mutu mwingine mwenye kuwa kama Yehova Mungu wetu.+

  • Zaburi 86:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  8 Hakuna mutu yeyote mwenye kuwa kama wewe kati ya miungu, Ee Yehova,+

      Hakuna kazi zenye kuwa kama kazi zako.+

  • Yeremia 10:6, 7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  6 Hakuna mutu yeyote mwenye kuwa kama wewe, Ee Yehova.+

      Wewe ni mukubwa, na jina lako ni kubwa na lenye nguvu.

       7 Ni nani mwenye hapaswe kukuogopa, Ee Mufalme wa mataifa,+ kwa maana inafaa;

      Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,

      Hakuna mutu yeyote hata kidogo mwenye kuwa kama wewe.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine