-
2 Mambo ya Nyakati 28:27Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
27 Kisha Ahazi akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake, na wakamuzika katika muji, katika Yerusalemu, kwa maana hawakumupeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.
-