-
Yeremia 17:5, 6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Yehova anasema hivi:
“Amelaaniwa mutu* mwenye anategemea wanadamu bure,+
Mwenye anategemea nguvu za mwanadamu,*+
Na mwenye moyo wake unageuka na kumuacha Yehova.
6 Atakuwa kama muti wenye kuwa peke yake katika jangwa.
Hataona wakati mema yanakuja,
Lakini atakaa mahali kwenye kunakauka katika jangwa,
Katika inchi yenye chumvi yenye hakuna mutu mwenye anaweza kuishi ndani.
-