Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Hata hivyo, Asa akamukasirikia muonaji huyo na kumutia katika gereza* kwa sababu alimukasirikia sana juu ya jambo hilo. Na wakati uleule Asa akaanza kutesa wengine kati ya watu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 18:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Halafu mufalme wa Israeli akamuambia Yehoshafati: “Kungali mutu mumoja+ mwenye kupitia yeye tunaweza kumuuliza Yehova; lakini ninamuchukia, kwa maana hatabiri hata kidogo mambo ya muzuri juu yangu, lakini ya mubaya sikuzote.+ Yeye ni Mikaya mwana wa Imla.” Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mufalme asiseme jambo kama hilo.”

  • Yeremia 11:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Kwa hiyo Yehova anasema hivi juu ya watu wa Anatoti+ wenye wanataka kuondoa uzima wako* na wenye wanasema: “Haupaswe kutoa unabii katika jina la Yehova,+ ao utakufa kwa mukono wetu”;

  • Yeremia 26:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Makuhani na manabii wakaambia wakubwa na watu wote: “Mutu huyu anastahili hukumu ya kifo,+ kwa sababu ametoa unabii juu ya muji huu kama vile mumesikia kwa masikio yenu wenyewe.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine