8 Usituombe tutoe hesabu kwa sababu ya makosa ya mababu zetu.+
Utuonyeshe haraka rehema yako,+
Kwa maana tumeshushwa chini sana.
9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+
Kwa ajili ya jina lako lenye utukufu;
Utuokoe na usamehe zambi zetu kwa ajili ya jina lako.+