Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 79:8, 9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  8 Usituombe tutoe hesabu kwa sababu ya makosa ya mababu zetu.+

      Utuonyeshe haraka rehema yako,+

      Kwa maana tumeshushwa chini sana.

       9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+

      Kwa ajili ya jina lako lenye utukufu;

      Utuokoe na usamehe* zambi zetu kwa ajili ya jina lako.+

  • Yeremia 31:34
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 34 “Na hawatafundishana tena kila mutu na jirani yake na kila mutu na ndugu yake, kwa kusema, ‘Mumujue Yehova!’+ kwa maana wote watanijua, kuanzia mudogo zaidi mupaka mukubwa zaidi kati yao,”+ ni vile Yehova anasema. “Kwa maana nitasamehe kosa lao, na sitakumbuka tena zambi yao.”+

  • Yeremia 33:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Na nitawatakasa kutokana na hatia yote ya zambi zao zenye walinitendea,+ na nitasamehe hatia yote ya zambi zao na makosa yao yenye walinitendea.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine