-
Yeremia 39:13, 14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Basi Nebuzaradani mukubwa wa walinzi, Nebushazbani ule Rabsarisi,* Nergal-shareza ule Rabmagi,* na wakubwa wote wa mufalme wa Babiloni wakatuma watu 14 na wakaleta Yeremia kutoka katika Kiwanja cha Walinzi+ na kumutia katika mukono wa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ili apelekwe kwenye nyumba yake. Basi akaishi pamoja na watu.
-