Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 22:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kisha wakati fulani Hilkia kuhani mukubwa akamuambia Shafani mwandishi:+ “Nimepata kitabu cha Sheria+ katika nyumba ya Yehova.” Basi Hilkia akamupatia Shafani kitabu hicho, naye akaanza kukisoma.+

  • Yeremia 26:24
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 24 Lakini Ahikamu+ mwana wa Shafani+ alimusaidia Yeremia, na hivyo hakutiwa katika mikono ya watu na kuuawa.+

  • Yeremia 39:13, 14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Basi Nebuzaradani mukubwa wa walinzi, Nebushazbani ule Rabsarisi,* Nergal-shareza ule Rabmagi,* na wakubwa wote wa mufalme wa Babiloni wakatuma watu 14 na wakaleta Yeremia kutoka katika Kiwanja cha Walinzi+ na kumutia katika mukono wa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ili apelekwe kwenye nyumba yake. Basi akaishi pamoja na watu.

  • Ezekieli 8:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Na wazee makumi saba (70) wa nyumba ya Israeli walikuwa wamesimama mbele yake, Yaazania mutoto mwanaume wa Shafani+ akiwa amesimama kati yao. Kila mumoja alikuwa na chetezo chake katika mukono wake, na wingu la uvumba lenye marashi lilikuwa linapanda.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine