15 Muhakikishe kuwa hakuna mutu mwenye anamulipa mutu yeyote ubaya kwa ubaya,+ lakini sikuzote mufuatie mambo ya muzuri kwa mutu na mwenzake na kwa wengine wote.+
23 Wakati alikuwa anatukanwa,+ hakujibu kwa matukano.+ Wakati alikuwa anateseka,+ hakuogopesha watu, lakini alijitia katika mikono ya Ule mwenye anahukumu+ kwa haki.