-
Luka 3:2-6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 katika siku za kuhani mukubwa Anasi na za Kayafa,+ neno la Mungu likakuja kwa Yohana+ mwana wa Zekaria katika jangwa.+
3 Basi akaenda katika inchi yote yenye kuzunguka Yordani, akihubiri ubatizo wenye kuonyesha kutubu kwa ajili ya musamaha wa zambi,+ 4 kama vile imeandikwa katika kitabu cha nabii Isaya: “Sauti ya mutu mwenye kusema kwa sauti kubwa katika jangwa, ‘Mutayarishe njia ya Yehova!* Munyooshe barabara zake.+ 5 Kila bonde linapaswa kujazwa, na kila mulima na kilima vinapaswa kufanywa kuwa tambarare; njia zenye kujikunja zinapaswa kunyooshwa, na njia zenye mikwaruzo zinapaswa kufanywa laini; 6 na miili yote itaona* wokovu wa Mungu.’”*+
-