5 Wakati alikuwa angali anasema, angalia! wingu lenye kungaa likawafunika, na angalia! sauti kutoka katika lile wingu ikasema: “Huyu ni Mwana wangu, mupendwa, mwenye nimekubali.+ Mumusikilize.”+
22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia ninyi kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.+ Munapaswa kusikiliza kila kitu chenye atawaambia.+23 Kwa kweli, mutu yeyote mwenye hatasikiliza* Nabii huyo, ataharibiwa kabisa kutoka kati ya watu.’+