Kumbukumbu la Torati 6:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Unapaswa kumupenda Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote+ na kwa nguvu zako zote.*+ 1 Samweli 15:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Basi Samweli akasema: “Je, Yehova anapendezwa na matoleo ya kuteketezwa na zabihu+ sawasawa na kutii sauti ya Yehova? Angalia! Kutii ni muzuri kuliko zabihu,+ na kusikiliza kwa uangalifu kuliko mafuta+ ya kondoo-dume; Hosea 6:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mushikamanifu,* hapana zabihu,Na ujuzi wa Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+
5 Unapaswa kumupenda Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi* yako yote+ na kwa nguvu zako zote.*+
22 Basi Samweli akasema: “Je, Yehova anapendezwa na matoleo ya kuteketezwa na zabihu+ sawasawa na kutii sauti ya Yehova? Angalia! Kutii ni muzuri kuliko zabihu,+ na kusikiliza kwa uangalifu kuliko mafuta+ ya kondoo-dume;
6 Kwa maana ninapendezwa na upendo mushikamanifu,* hapana zabihu,Na ujuzi wa Mungu kuliko matoleo mazima ya kuteketezwa.+