Zaburi 79:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya jina lako lenye utukufu;Utuokoe na usamehe* zambi zetu kwa ajili ya jina lako.+ Danieli 9:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Ee Yehova, usikie. Ee Yehova, usamehe.+ Ee Yehova, ukaze uangalifu na utende! Usikawie, kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jina lako mwenyewe limeitwa juu ya muji wako na juu ya watu wako.”+
9 Utusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya jina lako lenye utukufu;Utuokoe na usamehe* zambi zetu kwa ajili ya jina lako.+
19 Ee Yehova, usikie. Ee Yehova, usamehe.+ Ee Yehova, ukaze uangalifu na utende! Usikawie, kwa ajili yako mwenyewe, Ee Mungu wangu, kwa maana jina lako mwenyewe limeitwa juu ya muji wako na juu ya watu wako.”+