Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Waroma 13:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Musikuwe na deni lolote kwa mutu yeyote isipokuwa kupendana;+ kwa maana kila mutu mwenye anamupenda mwanadamu mwenzake ametimiza sheria.+

  • 1 Wakorinto 13:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Upendo haushindwe hata kidogo. Lakini kama kuko zawadi za unabii, zitaondolewa; kama kuko luga,* zitaisha; kama kuko ujuzi, utaondolewa.

  • 1 Wakorinto 13:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Hata hivyo, sasa kunabakia mambo haya tatu (3): imani, tumaini, upendo; lakini jambo la mukubwa zaidi kati ya mambo hayo ni upendo.+

  • 1 Yohana 4:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Kama mutu yeyote anasema: “Ninamupenda Mungu,” lakini anachukia ndugu yake, yeye ni muongo.+ Kwa maana mutu mwenye hamupendi ndugu yake+ mwenye amemuona, hawezi kumupenda Mungu mwenye hajaonaka.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine