Waroma 13:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Musikuwe na deni lolote kwa mutu yeyote isipokuwa kupendana;+ kwa maana kila mutu mwenye anamupenda mwanadamu mwenzake ametimiza sheria.+ 1 Wakorinto 13:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Upendo haushindwe hata kidogo. Lakini kama kuko zawadi za unabii, zitaondolewa; kama kuko luga,* zitaisha; kama kuko ujuzi, utaondolewa. 1 Wakorinto 13:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Hata hivyo, sasa kunabakia mambo haya tatu (3): imani, tumaini, upendo; lakini jambo la mukubwa zaidi kati ya mambo hayo ni upendo.+ 1 Yohana 4:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Kama mutu yeyote anasema: “Ninamupenda Mungu,” lakini anachukia ndugu yake, yeye ni muongo.+ Kwa maana mutu mwenye hamupendi ndugu yake+ mwenye amemuona, hawezi kumupenda Mungu mwenye hajaonaka.+
8 Musikuwe na deni lolote kwa mutu yeyote isipokuwa kupendana;+ kwa maana kila mutu mwenye anamupenda mwanadamu mwenzake ametimiza sheria.+
8 Upendo haushindwe hata kidogo. Lakini kama kuko zawadi za unabii, zitaondolewa; kama kuko luga,* zitaisha; kama kuko ujuzi, utaondolewa.
13 Hata hivyo, sasa kunabakia mambo haya tatu (3): imani, tumaini, upendo; lakini jambo la mukubwa zaidi kati ya mambo hayo ni upendo.+
20 Kama mutu yeyote anasema: “Ninamupenda Mungu,” lakini anachukia ndugu yake, yeye ni muongo.+ Kwa maana mutu mwenye hamupendi ndugu yake+ mwenye amemuona, hawezi kumupenda Mungu mwenye hajaonaka.+