21 Yesu akawajibu na kusema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, kama muko na imani na hamuna mashaka, hamutafanya tu jambo lenye nilifanyia muti wa tini, lakini hata mukiambia mulima huu, ‘Ondoka na utupwe katika bahari,’ jambo hilo litatendeka.+
8 Lakini mutapokea nguvu wakati roho takatifu itakuja juu yenu,+ na mutakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu,+ katika Yudea yote na Samaria,+ na mupaka kwenye sehemu ya mbali zaidi* ya dunia.”+