-
1 Yohana 2:18, 19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
18 Watoto wadogo, ni saa ya mwisho, na kama vile mulisikia kwamba mupinga-Kristo anakuja,+ hata sasa wapinga-Kristo wengi wametokea,+ na kwa sababu hiyo tunajua kwamba ni saa ya mwisho. 19 Walitoka katikati yetu, lakini hawakukuwa wa namna yetu;*+ kwa maana kama wangekuwa wa namna yetu, wangebakia pamoja na sisi. Lakini walitoka ili ionekane kwamba haiko wote ndio wa namna yetu.+
-