Zaburi 97:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Enyi wenye kumupenda Yehova, muchukie mambo ya mubaya.+ Analinda uzima wa* washikamanifu wake;+Anawaokoa katika mukono wa* waovu.+ Mezali 8:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Kumuogopa Yehova kunamaanisha kuchukia ubaya.+ Ninachukia kujiinua na kiburi+ na njia ya uovu na maneno yenye kupotoka.+
10 Enyi wenye kumupenda Yehova, muchukie mambo ya mubaya.+ Analinda uzima wa* washikamanifu wake;+Anawaokoa katika mukono wa* waovu.+
13 Kumuogopa Yehova kunamaanisha kuchukia ubaya.+ Ninachukia kujiinua na kiburi+ na njia ya uovu na maneno yenye kupotoka.+