Mambo ya Walawi 19:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 “‘Haupaswe kulipiza kisasi+ wala kuwekea kinyongo wana wa watu wako, na unapaswa kumupenda mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Matayo 5:39 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 39 Lakini, mimi ninawaambia: Musipingane na mutu muovu, lakini kila mutu mwenye anakupiga kofi kwenye shavu la kuume, umugeuzie pia lile lingine.+
18 “‘Haupaswe kulipiza kisasi+ wala kuwekea kinyongo wana wa watu wako, na unapaswa kumupenda mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
39 Lakini, mimi ninawaambia: Musipingane na mutu muovu, lakini kila mutu mwenye anakupiga kofi kwenye shavu la kuume, umugeuzie pia lile lingine.+