2 Timoteo 2:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 kama tunaendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye tukiwa wafalme;+ kama tunamukana, yeye pia atatukana sisi;+ Ufunuo 3:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 Ule mwenye atashinda+ nitamupatia ruhusa ya kukaa pamoja na mimi kwenye kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilipata ushindi na nikakaa+ pamoja na Baba yangu kwenye kiti chake cha ufalme.
12 kama tunaendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye tukiwa wafalme;+ kama tunamukana, yeye pia atatukana sisi;+
21 Ule mwenye atashinda+ nitamupatia ruhusa ya kukaa pamoja na mimi kwenye kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilipata ushindi na nikakaa+ pamoja na Baba yangu kwenye kiti chake cha ufalme.