Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 3:21
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Ule mwenye atashinda+ nitamupatia ruhusa ya kukaa pamoja na mimi kwenye kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilipata ushindi na nikakaa+ pamoja na Baba yangu kwenye kiti chake cha ufalme.

  • Ufunuo 20:4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 4 Na nikaona viti vya ufalme, na wale wenye kukaa kwenye viti hivyo wakapewa mamlaka ya kuhukumu. Ndiyo, niliona nafsi* za wale wenye waliuawa* kwa sababu ya ushahidi wenye walitoa juu ya Yesu na kwa sababu ya kusema juu ya Mungu, na wale wenye hawakumuabudu ule munyama wa pori ao sanamu yake na hawakupokea ile alama kwenye paji la uso wao na kwenye mukono wao.+ Na wakakuwa wazima na wakatawala wakiwa wafalme pamoja na Kristo+ kwa miaka elfu moja (1 000).

  • Ufunuo 20:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Mwenye furaha na mutakatifu ni kila mutu mwenye kuwa na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka+ juu ya hao, lakini watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, na watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu moja (1 000).+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine