Kutoka 34:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+ Zaburi 86:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, uko mwema+ na uko tayari kusamehe;+Uko na upendo mwingi mushikamanifu kwa ajili ya wale wote wenye wanakuitia.+ Mika 7:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Ni Mungu gani mwenye kuwa kama wewe,Mwenye kusamehe makosa na mwenye haangalie makosa+ ya mabaki ya uriti wake?+ Hataendelea kuwa na kasirani milele,Kwa maana anafurahia upendo mushikamanifu.+
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+
5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, uko mwema+ na uko tayari kusamehe;+Uko na upendo mwingi mushikamanifu kwa ajili ya wale wote wenye wanakuitia.+
18 Ni Mungu gani mwenye kuwa kama wewe,Mwenye kusamehe makosa na mwenye haangalie makosa+ ya mabaki ya uriti wake?+ Hataendelea kuwa na kasirani milele,Kwa maana anafurahia upendo mushikamanifu.+