2 Timoteo 1:13, 14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Endelea kushika mufano wa* maneno yenye faida*+ yenye ulisikia kutoka kwangu kwa imani na upendo wenye unatokana na umoja na Kristo Yesu. 14 Linda jambo hili la muzuri lenye liliwekwa kwako kupitia roho takatifu, yenye inakaa ndani yetu.+ 2 Timoteo 3:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Hata hivyo, wewe endelea kufuata mambo yenye ulijifunza na yenye ulisadikishwa kuamini,+ ukijua ulijifunza mambo hayo kutoka kwa nani, 2 Timoteo 4:5 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 5 Hata hivyo, wewe chunga akili yako katika mambo yote, vumilia magumu,+ fanya kazi ya mweneza-injili,* timiza kwa ukamili utumishi wako.+
13 Endelea kushika mufano wa* maneno yenye faida*+ yenye ulisikia kutoka kwangu kwa imani na upendo wenye unatokana na umoja na Kristo Yesu. 14 Linda jambo hili la muzuri lenye liliwekwa kwako kupitia roho takatifu, yenye inakaa ndani yetu.+
14 Hata hivyo, wewe endelea kufuata mambo yenye ulijifunza na yenye ulisadikishwa kuamini,+ ukijua ulijifunza mambo hayo kutoka kwa nani,
5 Hata hivyo, wewe chunga akili yako katika mambo yote, vumilia magumu,+ fanya kazi ya mweneza-injili,* timiza kwa ukamili utumishi wako.+