Zaburi 36:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Kwako kuko chemchemi ya uzima;+Kupitia mwangaza wako tunaweza kuona mwangaza.+ Isaya 55:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 55 Mukuje, ninyi wote wenye kiu,+ mukuje kwenye maji!+ Ninyi wenye hamuna feza, mukuje, mununue na mukule! Ndiyo, mukuje, mununue divai na maziwa+ bila feza na bila garama.+ Ufunuo 7:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 kwa sababu Mwana-Kondoo,+ mwenye kuwa katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji* ya uzima.+ Na Mungu atapanguza kila chozi katika macho yao.”+ Ufunuo 22:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Na akanionyesha muto wa maji ya uzima,+ wenye kungaa kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwana-Kondoo,+
55 Mukuje, ninyi wote wenye kiu,+ mukuje kwenye maji!+ Ninyi wenye hamuna feza, mukuje, mununue na mukule! Ndiyo, mukuje, mununue divai na maziwa+ bila feza na bila garama.+
17 kwa sababu Mwana-Kondoo,+ mwenye kuwa katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji* ya uzima.+ Na Mungu atapanguza kila chozi katika macho yao.”+
22 Na akanionyesha muto wa maji ya uzima,+ wenye kungaa kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwana-Kondoo,+