Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 20:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Mwenye furaha na mutakatifu ni kila mutu mwenye kuwa na sehemu katika ufufuo wa kwanza;+ kifo cha pili+ hakina mamlaka+ juu ya hao, lakini watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, na watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu moja (1 000).+

  • Ufunuo 20:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Na kifo na Kaburi* vikatupwa ndani ya lile ziwa la moto.+ Hilo linamaanisha kifo cha pili,+ lile ziwa la moto.+

  • Ufunuo 21:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Lakini wale wenye woga na wale wenye hawana imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu wao na wauaji+ na waasherati*+ na wale wenye wanazoea kupashana habari na pepo wachafu na waabudu-sanamu na waongo wote,+ fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa lenye linawaka moto na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine