Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Watesalonike 5
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Watesalonike

      • Kuja kwa siku ya Yehova (1-5)

        • “Amani na usalama!” (3)

      • Mukae macho, mulinde akili zenu (6-11)

      • Vitia-moyo (12-24)

      • Salamu za mwisho (25-28)

1 Watesalonike 5:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Sef 1:14
  • +Mt 24:36; 2 Pe. 3:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Ufalme wa Mungu Unatawala!,

    uku. 222

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2012, uku. 3-4

    15/7/2010, uku. 5

    1/5/2009, uku. 14

    15/5/2008, uku. 15-16

1 Watesalonike 5:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:10; Yer 8:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Ufalme wa Mungu Unatawala!,

    uku. 222-223

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2013, uku. 12-13

    1/1/2013, uku. 7

    15/9/2012, uku. 3-4

    15/7/2010, uku. 5

    15/5/2008, uku. 15-16

    1/2/2004,

    uku. 20-21

    Amuka!,

    4/2008, uku. 7

    Mungu Anatujali, uku. 21

1 Watesalonike 5:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 12:36; Rom. 13:12; Efe 5:8
  • +Yoh 8:12; Kol 1:13; 1 Pe. 2:9

1 Watesalonike 5:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 13:11
  • +Mt 24:42
  • +1 Pe. 5:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2012, uku. 10-11

    1/1/2003, uku. 11

1 Watesalonike 5:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 13:13

1 Watesalonike 5:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:14-17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Upendo wa Mungu,” uku. 203

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2013, uku. 11

    15/12/2008, uku. 6-7

    1/10/2006, uku. 29

    1/1/2003, uku. 20-22

    1/6/2000, uku. 9-10

    Amuka!,

    22/4/2004, uku. 12

1 Watesalonike 5:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tes. 2:13

1 Watesalonike 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tumelala usingizi katika kifo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 5:8
  • +1 Tes. 4:16, 17

1 Watesalonike 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kufarijiana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 1:11, 12; 15:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Huduma ya Ufalme,

    9/2005, uku. 7

1 Watesalonike 5:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2011, uku. 24-28

1 Watesalonike 5:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 2:29, 30; 1 Tim. 5:17; Ebr 13:7
  • +Mk 9:50; 2 Kor. 13:11

1 Watesalonike 5:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tunawahimiza.”

  • *

    Ao “wale wenye wamevunjika moyo.” Tnn., “wale wenye nafsi ya kidogo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:17; 2 Tim. 4:2
  • +1 Kor. 13:4; Gal 5:22; Efe 4:1, 2; Kol 3:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    10/2017, uku. 10

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2015, uku. 9

    15/8/2013, uku. 22

    15/6/2010, uku. 12-13

    1/5/2004, uku. 21

    1/11/2001, uku. 17-18

    Mkaribie Yehova, uku. 102-103,

    166-167

    Amuka!,

    10/2013, uku. 14

    7/2009, uku. 7-9

    Furaha ya Familia,

    uku. 36-37

1 Watesalonike 5:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 5:39
  • +Rom. 12:17, 19

1 Watesalonike 5:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 6:4, 10; Flp 4:4

1 Watesalonike 5:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 18:1; Rom. 12:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2010, uku. 9

    15/9/2003, uku. 15-20

1 Watesalonike 5:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 5:20; Kol 3:17

1 Watesalonike 5:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 4:30

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2000, uku. 10

1 Watesalonike 5:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 14:1

1 Watesalonike 5:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 4:1

1 Watesalonike 5:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 2:3

1 Watesalonike 5:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uzima.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 1:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2008, uku. 29

1 Watesalonike 5:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 15:30

1 Watesalonike 5:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 4:16

Maandiko ingine

1 Te. 5:2Sef 1:14
1 Te. 5:2Mt 24:36; 2 Pe. 3:10
1 Te. 5:3Zab 37:10; Yer 8:11
1 Te. 5:5Yoh 12:36; Rom. 13:12; Efe 5:8
1 Te. 5:5Yoh 8:12; Kol 1:13; 1 Pe. 2:9
1 Te. 5:6Rom. 13:11
1 Te. 5:6Mt 24:42
1 Te. 5:61 Pe. 5:8
1 Te. 5:7Rom. 13:13
1 Te. 5:8Efe 6:14-17
1 Te. 5:92 Tes. 2:13
1 Te. 5:10Rom. 5:8
1 Te. 5:101 Tes. 4:16, 17
1 Te. 5:11Rom. 1:11, 12; 15:2
1 Te. 5:13Flp 2:29, 30; 1 Tim. 5:17; Ebr 13:7
1 Te. 5:13Mk 9:50; 2 Kor. 13:11
1 Te. 5:14Law. 19:17; 2 Tim. 4:2
1 Te. 5:141 Kor. 13:4; Gal 5:22; Efe 4:1, 2; Kol 3:13
1 Te. 5:15Mt 5:39
1 Te. 5:15Rom. 12:17, 19
1 Te. 5:162 Kor. 6:4, 10; Flp 4:4
1 Te. 5:17Lu 18:1; Rom. 12:12
1 Te. 5:18Efe 5:20; Kol 3:17
1 Te. 5:19Efe 4:30
1 Te. 5:201 Kor. 14:1
1 Te. 5:211 Yo. 4:1
1 Te. 5:22Yob 2:3
1 Te. 5:231 Kor. 1:8
1 Te. 5:25Rom. 15:30
1 Te. 5:27Kol 4:16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Watesalonike 5:1-28

Ya Kwanza kwa Watesalonike

5 Sasa kwa habari ya nyakati na vipindi, ndugu, hamuna lazima ya kuandikiwa kitu chochote. 2 Kwa maana ninyi wenyewe munajua muzuri sana kwamba siku ya Yehova*+ inakuja sawasawa kabisa na vile mwizi anakuja usiku.+ 3 Wakati watakuwa wanasema, “Amani na usalama!” ndipo uharibifu wa kushitukia utakuja juu yao mara moja,+ kama vile maumivu ya kuzaa ya mwanamuke mwenye mimba, na hawataponyoka hata kidogo. 4 Lakini ninyi, ndugu, hamuko katika giza, ili siku hiyo iwafikie ninyi kwa kushitukia kama vile ingefikia wezi, 5 kwa maana ninyi wote ni wana wa mwangaza na wana wa muchana.+ Sisi hatuko wa usiku ao wa giza.+

6 Kwa hiyo basi, tusiendelee kulala usingizi kama wengine,+ lakini tukae macho+ na kulinda akili zetu.+ 7 Kwa maana wale wenye wanalala, wanalala usiku, na wale wenye wanalewa wanalewa usiku.+ 8 Lakini sisi wenye kuwa wa muchana, tulinde akili zetu na kuvaa bamba la kifua la imani na upendo na tumaini la wokovu kama kofia ya chuma+ 9 kwa sababu Mungu hakutuchagua ili tupatwe na kasirani yake kali, lakini alituchagua ili tuokolewe+ kupitia Bwana wetu Yesu Kristo. 10 Alikufa kwa ajili yetu,+ ili, kama tunabakia macho ao kama tumelala usingizi,* tuishi pamoja naye.+ 11 Kwa hiyo, muendelee kutiana moyo* na kujengana,+ kama vile muko munafanya.

12 Sasa tunawaomba, ndugu, muwaheshimie wale wenye wanafanya kazi kwa bidii kati yenu na kuwasimamia ninyi katika kazi ya Bwana na kuwaonya ninyi; 13 pia, muwaonyeshe kama munawasamini sana na kuwapenda kwa sababu ya kazi yao.+ Mukuwe wenye kufanya amani kati yenu.+ 14 Kwa upande mwingine, tunawatia moyo,* ndugu, muwaonye wale wenye wanajiendesha bila utaratibu,+ museme kwa namna yenye kufariji kwa wale wenye wameshuka moyo,* musaidie wazaifu, mukuwe wavumilivu kwa watu wote.+ 15 Muhakikishe kuwa hakuna mutu mwenye anamulipa mutu yeyote ubaya kwa ubaya,+ lakini sikuzote mufuatie mambo ya muzuri kwa mutu na mwenzake na kwa wengine wote.+

16 Mukuwe wenye kufurahi sikuzote.+ 17 Musali bila kuacha.+ 18 Mushukuru kwa kila jambo.+ Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu. 19 Musizimishe moto wa roho.+ 20 Musizarau maneno ya unabii.+ 21 Muchunguze mambo yote;+ mushikamane na mambo ya muzuri. 22 Mukatae kila namna ya uovu.+

23 Mungu wa amani awatakase kabisa. Na roho na nafsi* na mwili wenu ndugu, vikuwe bila kasoro katika kila jambo, na vilindwe bila lawama wakati wa kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo.+ 24 Ule mwenye anawaita ninyi ni muaminifu, na hakika atafanya vile.

25 Ndugu, muendelee kusali kwa ajili yetu.+

26 Musalimie ndugu wote kwa busu takatifu.

27 Ninawaomba kwa mukazo katika jina la Bwana, kwamba barua hii isomewe ndugu wote.+

28 Fazili zenye hazistahiliwe za Bwana wetu Yesu Kristo zikuwe pamoja na ninyi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine