Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wakolosai 3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wakolosai

      • Utu wa zamani na utu mupya (1-17)

        • Muue viungo vya mwili (5)

        • Upendo, kifungo kikamilifu cha umoja (14)

      • Mashauri kwa familia za Kikristo (18-25)

Wakolosai 3:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 2:6
  • +Zab 110:1; 1 Pe. 3:22

Wakolosai 3:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 3:20; 4:8; 1 Pe. 1:13
  • +1 Yo. 2:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    11/2017, uku. 25-26

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2014, uku. 28-29

Wakolosai 3:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 11:25
  • +1 Kor. 15:42, 43

Wakolosai 3:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno la Kigiriki por·neiʹa. Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mk 9:43; Gal 5:24
  • +1 Kor. 6:18; Efe 5:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    11/2017, uku. 26-27

    8/2017, uku. 18-20

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    6/2016, uku. 18

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2008, uku. 9

    15/4/2008, uku. 5

    15/7/2002, uku. 13

    15/10/2001, uku. 26

    15/6/2001, uku. 6

    15/1/2001, uku. 6

    Amuka!,

    8/7/2002, uku. 21

Wakolosai 3:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mulikuwa munatembea.”

  • *

    Ao “wakati muliishi vile.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 6:9-11; Efe 2:3; Tit 3:3

Wakolosai 3:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 2:1
  • +Efe 4:31
  • +Efe 5:3, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    8/2017, uku. 18, 20-21

    Amuka!,

    8/6/2003, uku. 19

Wakolosai 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mutu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 4:25; Ufu 21:8
  • +Efe 4:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    8/2017, uku. 17-21

Wakolosai 3:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sahihi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 12:2; Efe 4:24
  • +Mwa 1:26, 27; 1 Pe. 1:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    8/2017, uku. 22

Wakolosai 3:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Neno “Musikite” lilitumiwa ili kutaja mushenzi.

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Gal 3:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    8/2017, uku. 23

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/11/2001, uku. 25-26

Wakolosai 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “upendo mwororo.”

  • *

    Ao “unyenyekevu wa akili.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 2:9
  • +Flp 2:1, 2
  • +Rom. 12:16
  • +Tit 3:2
  • +Efe 4:1, 2; 1 Tes. 5:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    8/2017, uku. 23-26

    Munara wa Mulinzi (2001),

    1/11/2001, uku. 17

Wakolosai 3:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 19:11; Efe 4:32; 1 Pe. 4:8
  • +Mt 18:15
  • +Mt 6:14; Mk 11:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    11/2017, uku. 27

    6/2017, uku. 17-18

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2015, uku. 15

    1/10/2013, uku. 11

    15/7/2001, uku. 22-23

    Umurudilie Yehova, uku. 8-9

    Mkaribie Yehova, uku. 188

    Amuka!,

    3/2012, uku. 10

    11/2008, uku. 7

    8/2/2001, uku. 19

Wakolosai 3:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Yo. 3:23
  • +1 Kor. 13:4-7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    8/2017, uku. 26

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/12/2007, uku. 6

Wakolosai 3:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “iongoze mioyo yenu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 14:27; Flp 4:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    12/2017, uku. 26

    Amuka!,

    10/2007, uku. 27

    4/2006, uku. 6-7

    Munara wa Mulinzi (2001),

    1/9/2001, uku. 14-18

Wakolosai 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuonyana.”

  • *

    Ao “neema.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 14:26
  • +Efe 5:19

Wakolosai 3:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 10:31

Wakolosai 3:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 5:22; 1 Pe. 3:1

Wakolosai 3:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “musikuwe wakali kwao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 5:25; 1 Pe. 3:7
  • +Efe 4:31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Biblia Inafundisha, uku. 136

    Munara wa Mulinzi,

    15/9/2008, uku. 17

    1/5/2007, uku. 21-22

    15/9/2006, uku. 28

Wakolosai 3:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 6:20; Lu 2:51; Efe 6:1

Wakolosai 3:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “musikuwe munachokoza; musikuwe munasumbua.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2005, uku. 22-23

    Furaha ya Familia, uku. 148

Wakolosai 3:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa njia ya kimwili.”

  • *

    Tnn., “hapana kwa matendo ya utumishi wa macho, kama watu wenye kupendeza wanadamu.”

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:5, 6; Tit 2:9; 1 Pe. 2:18

Wakolosai 3:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 10:27; Rom. 12:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 104-106

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2012, uku. 21-23

    “Kila Andiko,” uku. 168

Wakolosai 3:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:8; 1 Pe. 1:3, 4

Wakolosai 3:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 2:6; Gal 6:7
  • +Rom. 2:11; 1 Pe. 1:17

Maandiko ingine

Kol. 3:1Efe 2:6
Kol. 3:1Zab 110:1; 1 Pe. 3:22
Kol. 3:2Flp 3:20; 4:8; 1 Pe. 1:13
Kol. 3:21 Yo. 2:15
Kol. 3:4Yoh 11:25
Kol. 3:41 Kor. 15:42, 43
Kol. 3:5Mk 9:43; Gal 5:24
Kol. 3:51 Kor. 6:18; Efe 5:3
Kol. 3:71 Kor. 6:9-11; Efe 2:3; Tit 3:3
Kol. 3:81 Pe. 2:1
Kol. 3:8Efe 4:31
Kol. 3:8Efe 5:3, 4
Kol. 3:9Efe 4:25; Ufu 21:8
Kol. 3:9Efe 4:22
Kol. 3:10Rom. 12:2; Efe 4:24
Kol. 3:10Mwa 1:26, 27; 1 Pe. 1:16
Kol. 3:11Gal 3:28
Kol. 3:121 Pe. 2:9
Kol. 3:12Flp 2:1, 2
Kol. 3:12Rom. 12:16
Kol. 3:12Tit 3:2
Kol. 3:12Efe 4:1, 2; 1 Tes. 5:14
Kol. 3:13Mt 6:14; Mk 11:25
Kol. 3:13Mez. 19:11; Efe 4:32; 1 Pe. 4:8
Kol. 3:13Mt 18:15
Kol. 3:141 Yo. 3:23
Kol. 3:141 Kor. 13:4-7
Kol. 3:15Yoh 14:27; Flp 4:7
Kol. 3:161 Kor. 14:26
Kol. 3:16Efe 5:19
Kol. 3:171 Kor. 10:31
Kol. 3:18Efe 5:22; 1 Pe. 3:1
Kol. 3:19Efe 5:25; 1 Pe. 3:7
Kol. 3:19Efe 4:31
Kol. 3:20Mez. 6:20; Lu 2:51; Efe 6:1
Kol. 3:21Efe 6:4
Kol. 3:22Efe 6:5, 6; Tit 2:9; 1 Pe. 2:18
Kol. 3:23Lu 10:27; Rom. 12:11
Kol. 3:24Efe 6:8; 1 Pe. 1:3, 4
Kol. 3:25Rom. 2:6; Gal 6:7
Kol. 3:25Rom. 2:11; 1 Pe. 1:17
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wakolosai 3:1-25

Barua kwa Wakolosai

3 Hata hivyo, kama mulifufuliwa pamoja na Kristo,+ muendelee kutafuta mambo yenye kuwa juu, kwenye Kristo amekaa kwenye mukono wa kuume wa Mungu.+ 2 Muendelee kukaza akili zenu juu ya mambo yenye kuwa juu,+ hapana juu ya mambo yenye kuwa katika dunia.+ 3 Kwa maana mulikufa, na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika umoja na Mungu. 4 Wakati Kristo, ambaye ni uzima wetu,+ atafunuliwa, basi ninyi pia mutafunuliwa pamoja naye katika utukufu.+

5 Kwa hiyo, muue viungo vya mwili wenu+ vyenye kuwa katika dunia kuhusiana na uasherati,* uchafu, tamaa kubwa ya ngono yenye haizuiliwe,+ tamaa yenye kuumiza, na pupa, yenye kuwa ibada ya sanamu. 6 Kwa sababu ya mambo hayo kasirani kali ya Mungu inakuja. 7 Ni vile ninyi pia mulikuwa munajiendesha* katika maisha yenu ya zamani.*+ 8 Lakini sasa, kwa kweli, munapaswa kuondoa mambo haya yote kutoka kwenu: kasirani kali, hasira, ubaya,+ matukano,+ na maneno machafu+ kutoka katika kinywa chenu. 9 Musiambiane uongo.+ Muvue utu* wa zamani+ pamoja na mazoea yake, 10 na muvae utu mupya,+ wenye kupitia ujuzi wenye hauna makosa* unafanywa kuwa mupya kulingana na mufano wa Ule mwenye aliuumba,+ 11 kwenye hakuna Mugiriki ao Muyahudi, kutahiriwa ao kutokutahiriwa, mugeni, Musikite,* mutumwa, ao mutu huru; lakini Kristo ni kila kitu na iko* katika vitu vyote.+

12 Basi, kama wachaguliwa wa Mungu,+ watakatifu na wapendwa, muvae upendo wenye upole* wa huruma,+ fazili, unyenyekevu,*+ upole,+ na uvumilivu.+ 13 Muendelee kuvumiliana na kusameheana kwa kupenda+ hata kama mutu yeyote iko* na sababu ya kulalamika juu ya mwingine.+ Kama vile Yehova* aliwasamehe ninyi kwa kupenda, ninyi pia munapaswa kufanya vilevile.+ 14 Lakini zaidi ya mambo haya yote, muvae upendo,+ kwa maana upendo ni kifungo kikamilifu cha umoja.+

15 Pia, amani ya Kristo itawale katika mioyo yenu,*+ kwa maana muliitwa kwenye amani hiyo katika mwili mumoja. Na mujionyeshe kuwa wenye shukrani. 16 Neno la Kristo likae ndani yenu kwa wingi katika hekima yote. Muendelee kufundishana na kutiana moyo* kwa zaburi,+ sifa kwa Mungu, nyimbo za kiroho zenye zinaimbwa kwa shukrani,* mukimuimbia Yehova* katika mioyo yenu.+ 17 Jambo lolote lenye munafanya kwa neno ao kwa tendo, mufanye mambo yote katika jina la Bwana Yesu, mukimushukuru Mungu Baba kupitia yeye.+

18 Ninyi bibi, mujitiishe kwa bwana zenu,+ kwa kuwa inafaa katika Bwana. 19 Ninyi bwana, muendelee kupenda bibi zenu+ na musiwakasirikie kwa uchungu.*+ 20 Ninyi watoto, mutii wazazi wenu katika kila jambo,+ kwa maana hilo linamupendeza Bwana. 21 Ninyi baba, musikuwe munakasirisha* watoto wenu,+ ili wasivunjike moyo. 22 Ninyi watumwa, mutii katika kila jambo wale wenye kuwa mabwana wenu wanadamu,*+ haiko tu wakati wanaangalia, ili tu kupendeza wanadamu,* lakini kwa moyo muzuri, kwa kumuogopa Yehova.* 23 Jambo lolote lenye munafanya, mulifanye kwa nafsi* yote kama kwa ajili ya Yehova,*+ na hapana kwa ajili ya wanadamu, 24 kwa maana munajua kwamba mutapokea kutoka kwa Yehova* uriti kama zawabu.+ Mumutumikie Bwana, Kristo. 25 Hakika ule mwenye anafanya kosa atapokea malipo kwa lile kosa lenye amefanya,+ na hakuna ubaguzi wowote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine