Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Timoteo 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Timoteo

      • “Timiza kwa ukamili utumishi wako” (1-5)

        • Hubiri neno kwa bidii (2)

      • “Nimepigana pigano la muzuri” (6-8)

      • Maelezo ya kipekee (9-18)

      • Salamu za mwisho (19-22)

2 Timoteo 4:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoh 5:22; Mdo 17:31; 2 Kor. 5:10
  • +Yoh 5:28, 29; Mdo 10:42
  • +1 Tim. 6:14, 15; 1 Pe. 5:4
  • +Ufu 11:15; 12:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    1/2010, uku. 10-11

2 Timoteo 4:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 2:15
  • +1 Tim. 5:20; Tit 1:7, 9, 13; 2:15
  • +2 Tim. 2:24, 25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova, uku. 165

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2012, uku. 15-16

    15/1/2008, uku. 8-9

    1/1/2003, uku. 29-30

    Shule ya Huduma, uku. 266-267

    Huduma ya Ufalme,

    2/2000, uku. 1

2 Timoteo 4:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “lenye kujenga afya.”

  • *

    Ao “wawaambie mambo yenye wanataka kusikia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Tim. 1:9, 10
  • +1 Tim. 4:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2012, uku. 15-16

    1/7/2005,

    uku. 5-6

2 Timoteo 4:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 17

    15/9/2002, uku. 17-19

2 Timoteo 4:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “endelea kuhubiri habari njema.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Tim. 1:8; 2:3
  • +Rom. 15:19; Kol 1:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2009, uku. 16-17

    15/3/2004, uku. 10, 15

2 Timoteo 4:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 28:6, 7
  • +Flp 1:23

2 Timoteo 4:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:26; 1 Tim. 6:12
  • +Flp 3:14

2 Timoteo 4:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:25; Yak 1:12
  • +Yoh 5:22
  • +1 Pe. 5:4; Ufu 2:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,”

    uku. 239

2 Timoteo 4:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2015, uku. 15

    15/5/2004, uku. 19-20

2 Timoteo 4:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mufumo wa mambo.” Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 4:14; Flm 23, 24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2015, uku. 16

    Kutoa Ushahidi, uku. 12

2 Timoteo 4:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2010, uku. 8-9

    15/11/2007, uku. 18

    Kutoa Ushahidi, uku. 118

    “Kila Andiko,”

    uku. 187-188

2 Timoteo 4:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Efe 6:21; Kol 4:7

2 Timoteo 4:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2011, uku. 18-19

    15/9/2008,

    uku. 31

    15/5/2008,

    uku. 22

2 Timoteo 4:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 28:4; 62:12; Mez. 24:12

2 Timoteo 4:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2015, uku. 24-25

2 Timoteo 4:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15
  • +Zab 22:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2015,

    uku. 24-26, 28

2 Timoteo 4:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 20:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2015, uku. 25

2 Timoteo 4:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 16:3
  • +2 Tim. 1:16

2 Timoteo 4:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 19:22
  • +Mdo 21:29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2015,

    uku. 25

2 Timoteo 4:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2012, uku. 12-13

Maandiko ingine

2 Timotheo 4:1Yoh 5:22; Mdo 17:31; 2 Kor. 5:10
2 Timotheo 4:1Yoh 5:28, 29; Mdo 10:42
2 Timotheo 4:11 Tim. 6:14, 15; 1 Pe. 5:4
2 Timotheo 4:1Ufu 11:15; 12:10
2 Timotheo 4:22 Tim. 2:15
2 Timotheo 4:21 Tim. 5:20; Tit 1:7, 9, 13; 2:15
2 Timotheo 4:22 Tim. 2:24, 25
2 Timotheo 4:31 Tim. 1:9, 10
2 Timotheo 4:31 Tim. 4:1
2 Timotheo 4:52 Tim. 1:8; 2:3
2 Timotheo 4:5Rom. 15:19; Kol 1:25
2 Timotheo 4:6Hes 28:6, 7
2 Timotheo 4:6Flp 1:23
2 Timotheo 4:71 Kor. 9:26; 1 Tim. 6:12
2 Timotheo 4:7Flp 3:14
2 Timotheo 4:81 Kor. 9:25; Yak 1:12
2 Timotheo 4:8Yoh 5:22
2 Timotheo 4:81 Pe. 5:4; Ufu 2:10
2 Timotheo 4:10Kol 4:14; Flm 23, 24
2 Timotheo 4:12Efe 6:21; Kol 4:7
2 Timotheo 4:14Zab 28:4; 62:12; Mez. 24:12
2 Timotheo 4:17Mdo 9:15
2 Timotheo 4:17Zab 22:21
2 Timotheo 4:18Ufu 20:4
2 Timotheo 4:19Rom. 16:3
2 Timotheo 4:192 Tim. 1:16
2 Timotheo 4:20Mdo 19:22
2 Timotheo 4:20Mdo 21:29
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Timoteo 4:1-22

Ya Pili kwa Timoteo

4 Ninakuagiza kwa uzito mbele ya Mungu na Kristo Yesu, mwenye atahukumu+ wazima na wafu,+ na kupitia ufunuo wake+ na Ufalme wake:+ 2 Hubiri neno;+ fanya vile kwa bidii katika nyakati zenye kufaa na nyakati zenye kuwa ngumu; karipia,+ kemea, chochea, kwa uvumilivu wote na ufundi wa kufundisha.+ 3 Kwa maana kutakuwa wakati wenye watu hawatavumilia fundisho lenye faida,*+ lakini kulingana na tamaa zao wenyewe, watajikusanyia walimu ili masikio yao yafurahishwe.*+ 4 Watageuka na kuacha kusikiliza ile kweli, na watageuka ili kusikiliza hadisi za uongo. 5 Hata hivyo, wewe chunga akili yako katika mambo yote, vumilia magumu,+ fanya kazi ya mweneza-injili,* timiza kwa ukamili utumishi wako.+

6 Kwa maana mimi tayari ninamwangwa kama toleo la kinywaji,+ na wakati wangu wa kufunguliwa+ umekaribia sana. 7 Nimepigana pigano la muzuri,+ nimekimbia mbio mupaka mwisho,+ nimeshika imani. 8 Tangu sasa na kuendelea, nimewekewa akiba taji la haki,+ lenye Bwana, muamuzi mwenye haki,+ atanipatia kuwa zawabu katika ile siku,+ hapana mimi tu, lakini pia wale wote wenye wamependa kufunuliwa kwake.

9 Fanya nguvu yako yote ili ukuje kwangu bila kuchelewa. 10 Kwa maana Dema+ ameniacha kwa sababu alipenda mupangilio wa mambo* wa sasa, na ameenda Tesalonike, Kresensi ameenda Galatia, Tito ameenda Dalmatia. 11 Luka tu ndiye mwenye kuwa pamoja na mimi. Chukua Marko ukuje pamoja naye, kwa maana ni mwenye faida kwangu katika utumishi. 12 Lakini nimemutuma Tikiko+ aende Efeso. 13 Wakati utakuja, ulete ile nguo ya inje yenye nilimuachia Karpo kule Troa, na vile vitabu vya kukunjwa, zaidi sana vile vya ngozi.

14 Aleksanda ule fundi wa shaba alinitendea mambo mengi ya mubaya. Yehova* atamulipa kulingana na matendo yake.+ 15 Wewe pia ufanye angalisho naye, kwa maana alipinga ujumbe wetu kwa njia kubwa sana.

16 Wakati nilijitetea mara ya kwanza hakuna mutu yeyote mwenye alikuja upande wangu, lakini wote waliniacha⁠—⁠wasihesabiwe kuwa na kosa kwa jambo hilo. 17 Lakini Bwana alisimama karibu yangu na kunitia nguvu, ili kupitia mimi kazi ya kuhubiri itimizwe kwa ukamili na mataifa yote yaisikie;+ na niliokolewa kutoka katika kinywa cha simba.+ 18 Bwana atanikomboa katika kila tendo la uovu na ataniokoa kwa ajili ya Ufalme wake wa mbinguni.+ Kwake yeye kukuwe utukufu milele na milele. Amina.

19 Upatie salamu zangu Priska na Akila+ na nyumba ya Onesiforo.+

20 Erasto+ alibakia Korinto, lakini nilimuacha Trofimo+ akiwa mugonjwa kule Mileto. 21 Fanya nguvu yako yote ili ufike mbele ya kipindi cha baridi.

Eubulo anakutumia salamu zake, na pia Pudensi na Lino na Klaudia na ndugu wote.

22 Bwana akuwe pamoja na roho yenye unaonyesha. Fazili zake zenye hazistahiliwe zikuwe pamoja na ninyi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine