Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 148
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Uumbaji wote umusifu Yehova

        • “Mumusifu, ninyi malaika wake wote” (2)

        • ‘Mumusifu, jua, mwezi, na nyota’ (3)

        • Vijana na wazee wamusifu Mungu (12, 13)

Zaburi 148:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 89:5

Zaburi 148:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 103:20; Lu 2:13
  • +Yer 32:18; Yud 14

Zaburi 148:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 19:1

Zaburi 148:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbingu za mbingu.”

Zaburi 148:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 33:6

Zaburi 148:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 89:37
  • +Zab 119:91; Yer 31:35, 36; 33:25

Zaburi 148:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Mkaribie Yehova,

    uku. 54-55

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2004,

    uku. 12-13

Zaburi 148:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “neige.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 9:23; Zab 107:25; Isa 30:30

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2004, uku. 13

Zaburi 148:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 98:8
  • +1Nya 16:33; Isa 44:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2004, uku. 13

Zaburi 148:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 43:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2004, uku. 13-14

Zaburi 148:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 2:10, 11

Zaburi 148:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mabikira.”

Zaburi 148:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 8:1; Isa 12:4
  • +1 Fal. 8:27; 1Nya 29:11

Zaburi 148:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pembe.”

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maandiko ingine

Zb. 148:1Zab 89:5
Zb. 148:2Zab 103:20; Lu 2:13
Zb. 148:2Yer 32:18; Yud 14
Zb. 148:3Zab 19:1
Zb. 148:5Zab 33:6
Zb. 148:6Zab 89:37
Zb. 148:6Zab 119:91; Yer 31:35, 36; 33:25
Zb. 148:8Kut 9:23; Zab 107:25; Isa 30:30
Zb. 148:9Zab 98:8
Zb. 148:91Nya 16:33; Isa 44:23
Zb. 148:10Isa 43:20
Zb. 148:11Zab 2:10, 11
Zb. 148:13Zab 8:1; Isa 12:4
Zb. 148:131 Fal. 8:27; 1Nya 29:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 148:1-14

Zaburi

148 Mumusifu Yah!*

Mumusifu Yehova kutoka mbinguni,+

Mumusifu katika nafasi za juu.

 2 Mumusifu, ninyi malaika wake wote.+

Mumusifu, ninyi jeshi lake lote.+

 3 Mumusifu, jua na mwezi.

Mumusifu, nyota zote zenye kungaa.+

 4 Mumusifu, Enyi mbingu zenye kuwa juu sana*

Na maji yenye kuwa juu ya mbingu.

 5 Visifu jina la Yehova,

Kwa maana aliamuru, na vikaumbwa.+

 6 Anavifanya viendelee kuwa imara milele na milele;+

Ametoa agizo lenye halitapita.+

 7 Mumusifu Yehova kutoka katika dunia,

Ninyi viumbe vikubwa vya bahari na maji yote yenye kuenda chini sana,

 8 Ninyi umeme wa radi na mvua ya majiwe, teluji* na mawingu mazito,

Wewe upepo wa zoruba, ninyi wenye kutenda neno lake,+

 9 Ninyi milima na vilima vyote,+

Ninyi miti ya matunda na mierezi yote,+

10 Ninyi wanyama wa pori+ na wanyama wote wa kufugwa,

Ninyi viumbe vyenye kutambaa na ndege wenye mabawa,

11 Ninyi wafalme wa dunia, na ninyi mataifa yote,

Ninyi wakubwa na waamuzi wote wa dunia,+

12 Ninyi vijana wanaume na vijana wanamuke,*

Wazee pamoja na vijana.

13 Wasifu jina la Yehova,

Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana haliwezi kufikiwa.+

Ukubwa wake uko juu ya dunia na mbingu.+

14 Atainua nguvu* ya watu wake,

Kwa ajili ya sifa ya washikamanifu wake wote,

Ya wana wa Israeli, watu wenye kuwa karibu naye.

Mumusifu Yah!*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine