Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 149
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Wimbo wa kusifu ushindi wa Mungu

        • Mungu anafurahia watu wake (4)

        • Heshima ni ya washikamanifu wa Mungu (9)

Zaburi 149:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 33:3; 96:1; Isa 42:10; Ufu 5:9
  • +Zab 22:22

Zaburi 149:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 100:3; Isa 54:5

Zaburi 149:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wamupigie muziki.”

  • *

    Ao “tari.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 11:34
  • +Kut 15:20; Zab 150:4

Zaburi 149:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 84:11
  • +Zab 132:16; Isa 61:10

Zaburi 149:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 63:6

Zaburi 149:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:1

Maandiko ingine

Zb. 149:1Zab 33:3; 96:1; Isa 42:10; Ufu 5:9
Zb. 149:1Zab 22:22
Zb. 149:2Zab 100:3; Isa 54:5
Zb. 149:3Amu 11:34
Zb. 149:3Kut 15:20; Zab 150:4
Zb. 149:4Zab 84:11
Zb. 149:4Zab 132:16; Isa 61:10
Zb. 149:5Zab 63:6
Zb. 149:9Kum 7:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 149:1-9

Zaburi

149 Mumusifu Yah!*

Mumuimbie Yehova wimbo mupya;+

Mumusifu katika kutaniko la washikamanifu.+

 2 Israeli ashangilie katika Mutengenezaji wake Mukubwa;+

Wana wa Sayuni wafurahi katika Mufalme wao.

 3 Wasifu jina lake kwa kucheza dansi+

Na wamuimbie sifa* kwa ngoma ya kidogo* na kinubi.+

 4 Kwa maana Yehova anafurahia watu wake.+

Anapamba wapole kwa wokovu.+

 5 Washikamanifu washangilie kwa utukufu;

Wapige vigelegele vya shangwe kwenye vitanda vyao.+

 6 Nyimbo za kumusifu Mungu zikuwe katika koo yao,

Na upanga wenye makali pande mbili ukuwe katika mukono wao,

 7 Ili kulipiza kisasi juu ya mataifa

Na kupatia vikundi vya watu azabu,

 8 Ili kufunga wafalme wao kwa minyororo

Na watu wao wenye vyeo kwa pingu za chuma,

 9 Ili kuleta hukumu yenye iliandikwa kwa ajili yao.+

Heshima hii ni ya washikamanifu wake wote.

Mumusifu Yah!*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine