Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Mambo ya Walawi

      • Moto kutoka kwa Yehova unaua Nadabu na Abihu (1-7)

      • Sheria zenye makuhani walipewa kuhusu kula na kunywa (8-20)

Mambo ya Walawi 10:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:23; 1Nya 24:2
  • +Kut 30:34, 35; Law. 16:12
  • +Kut 30:9; Law. 10:9; 16:1, 2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2004, uku. 22

Mambo ya Walawi 10:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 16:35
  • +Hes 26:61

Mambo ya Walawi 10:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 19:22

Mambo ya Walawi 10:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 6:18

Mambo ya Walawi 10:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 21:10

Mambo ya Walawi 10:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 28:41; Law. 8:12; 21:11, 12

Mambo ya Walawi 10:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 44:21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2014, uku. 17

    1/12/2004, uku. 21-22

    15/5/2004, uku. 22

    “Kila Andiko,” uku. 27

Mambo ya Walawi 10:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 44:23

Mambo ya Walawi 10:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 33:10; 2Nya 17:8, 9; Ne 8:7, 8; Mal 2:7

Mambo ya Walawi 10:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:14, 16
  • +Law. 21:22

Mambo ya Walawi 10:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:26; Hes 18:10

Mambo ya Walawi 10:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:26-28; Law. 7:31, 34; 9:21
  • +Law. 22:13; Hes 18:11

Mambo ya Walawi 10:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:13

Mambo ya Walawi 10:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 9:3, 15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2011, uku. 12

Mambo ya Walawi 10:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:25, 26; Eze 44:29

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2011, uku. 12

Mambo ya Walawi 10:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 6:29, 30

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2011, uku. 12

Mambo ya Walawi 10:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 9:8, 12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2011, uku. 12

Mambo ya Walawi 10:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2011, uku. 12

Maandiko ingine

Mambo ya walawi 10:1Kut 6:23; 1Nya 24:2
Mambo ya walawi 10:1Kut 30:34, 35; Law. 16:12
Mambo ya walawi 10:1Kut 30:9; Law. 10:9; 16:1, 2
Mambo ya walawi 10:2Hes 16:35
Mambo ya walawi 10:2Hes 26:61
Mambo ya walawi 10:3Kut 19:22
Mambo ya walawi 10:4Kut 6:18
Mambo ya walawi 10:6Law. 21:10
Mambo ya walawi 10:7Kut 28:41; Law. 8:12; 21:11, 12
Mambo ya walawi 10:9Eze 44:21
Mambo ya walawi 10:10Eze 44:23
Mambo ya walawi 10:11Kum 33:10; 2Nya 17:8, 9; Ne 8:7, 8; Mal 2:7
Mambo ya walawi 10:12Law. 6:14, 16
Mambo ya walawi 10:12Law. 21:22
Mambo ya walawi 10:13Law. 6:26; Hes 18:10
Mambo ya walawi 10:14Kut 29:26-28; Law. 7:31, 34; 9:21
Mambo ya walawi 10:14Law. 22:13; Hes 18:11
Mambo ya walawi 10:151 Kor. 9:13
Mambo ya walawi 10:16Law. 9:3, 15
Mambo ya walawi 10:17Law. 6:25, 26; Eze 44:29
Mambo ya walawi 10:18Law. 6:29, 30
Mambo ya walawi 10:19Law. 9:8, 12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Mambo ya Walawi 10:1-20

Mambo ya Walawi

10 Kisha wakati fulani, Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, wakakamata kila mumoja wao chetezo chake na wakatia moto ndani yake na kutia uvumba+ juu yake. Halafu wakaanza kutoa mbele ya Yehova moto wenye hauruhusiwe,+ wenye alikuwa hajawaamuru wafanye. 2 Basi moto ukashuka kutoka kwa Yehova na kuwateketeza,+ kwa hiyo wakakufa mbele ya Yehova.+ 3 Musa akamuambia Haruni: “Yehova amesema hivi: ‘Nitatakaswa kati ya wale wenye kuwa karibu na mimi,+ na nitatukuzwa mbele ya watu wote.’” Na Haruni akabakia kimya.

4 Kwa hiyo Musa akaita Mishaeli na Elsafani, wana wa Uzieli,+ ndugu ya baba ya Haruni, na akawaambia: “Mukuje hapa, mutoshe ndugu zenu mbele ya mahali patakatifu na muwapeleke inje ya kambi.” 5 Kwa hiyo wakakaribia na wakabeba wanaume hao wakiwa na kanzu zao na kuwapeleka inje ya kambi, kama vile Musa alikuwa amewaambia.

6 Kisha Musa akaambia Haruni na wana wake wengine, Eleazari na Itamari: “Musiache nywele zenu katika hali ya ovyo-ovyo na musipasue nguo zenu,+ ili musikufe na ili Mungu asikasirikie mukusanyiko wote. Ndugu zenu wa nyumba yote ya Israeli wataombolezea wale wenye Yehova ameua kwa moto. 7 Hamupaswe kuenda inje ya muingilio wa hema ya mukutano ili musikufe, kwa sababu mafuta ya Yehova ya kutia mafuta yako juu yenu.”+ Kwa hiyo wakafanya kama vile Musa alisema.

8 Kisha Yehova akamuambia Haruni: 9 “Usikunywe divai ao pombe yoyote, wewe na wana wako, wakati munaingia katika hema ya mukutano,+ ili musikufe. Ni sheria ya kudumu kwa ajili ya vizazi vyenu. 10 Hii ni kwa sababu ya kufanya tofauti kati ya kitu kitakatifu na kitu chenye hakiko kitakatifu na kati ya kitu safi na kitu chenye hakiko safi,+ 11 na ili kufundisha Waisraeli wote masharti yote yenye Yehova amewaambia kupitia Musa.”+

12 Kisha Musa akaambia Haruni na wana wake wenye walibakia, Eleazari na Itamari: “Mukamate toleo la nafaka lenye lilibakia kutoka katikati ya matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto na mukule toleo hilo kama mikate yenye haina chachu karibu na mazabahu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu sana.+ 13 Munapaswa kula toleo hilo katika mahali patakatifu,+ kwa sababu ni posho lako na posho la wana wako kutoka katikati ya matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto, kwa maana ni vile nimeamuriwa. 14 Pia, mutakula kifua cha toleo la kutikiswa na muguu wa fungu takatifu+ mukiwa mahali safi, wewe na watoto wako wanaume na watoto wako wanamuke,+ kwa sababu vitu hivyo vimetolewa ili kuwa posho lako na posho la wana wako kutoka katikati ya zabihu za ushirika za Waisraeli. 15 Wataleta muguu wa fungu takatifu na kifua cha toleo la kutikiswa pamoja na matoleo ya mafuta yenye yanatolewa kwa njia ya moto, ili kutikisa toleo la kutikiswa mbele na nyuma mbele ya Yehova; hilo litakuwa posho la kudumu kwa ajili yako na kwa ajili ya wana wako,+ kama vile Yehova ameamuru.”

16 Na Musa akatafuta sana ule mbuzi wa toleo la zambi,+ na akavumbua kwamba alikuwa ameteketezwa kwa moto. Kwa hiyo akakasirikia sana Eleazari na Itamari, wana wa Haruni wenye walibakia, na akasema: 17 “Sababu gani hamukukula toleo la zambi mukiwa mahali patakatifu,+ kwa kuwa ni kitu kitakatifu sana na amewapatia toleo hilo ili muweze kujibu kwa ajili ya kosa la mukusanyiko na ili mufunike zambi kwa ajili yao mbele ya Yehova? 18 Muangalie! Damu yake haijaletwa ndani ya mahali patakatifu.+ Mulipaswa kabisa kula toleo hilo katika mahali patakatifu, kama vile niliamuriwa.” 19 Haruni akamujibu Musa: “Angalia! Leo walimutolea Yehova toleo lao la zambi na toleo lao la kuteketezwa,+ na bado mambo haya yamenipata. Kama ningekula toleo la zambi leo, je, jambo hilo lingemupendeza Yehova?” 20 Wakati Musa alisikia maneno hayo, akatosheka.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine