Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorinto 6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wakorinto

      • Fazili za Mungu hazipaswe kutumiwa mubaya (1, 2)

      • Utumishi wa Paulo unaelezwa (3-13)

      • Musifungwe nira yenye haiko sawa (14-18)

2 Wakorinto 6:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 5:20
  • +Rom. 2:4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    1/2016, uku. 27-32

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2010, uku. 14

    Kitabu cha Mwaka 2006, uku. 3-4

2 Wakorinto 6:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 49:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2010, uku. 12-14

    Kitabu cha Mwaka 2006, uku. 3-4

    Unabii wa Isaya 2,

    uku. 143-146

2 Wakorinto 6:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:22

2 Wakorinto 6:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 4:1, 2
  • +2 Kor. 11:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    9/2016, uku. 15-17

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2000, uku. 20

    15/4/2000, uku. 19-21

2 Wakorinto 6:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 2:10
  • +2 Kor. 11:25, 27

2 Wakorinto 6:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kol 3:13; 1 Tes. 5:14
  • +Efe 4:32
  • +Rom. 12:9

2 Wakorinto 6:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine kwa ajili ya kushambulia.

  • *

    Pengine kwa ajili ya kujilinda.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 2:4, 5
  • +2 Kor. 10:4; Efe 6:11

2 Wakorinto 6:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tunaonwa kuwa tunastahili kifo.”

  • *

    Ao “wenye kutiwa nizamu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 4:10, 11
  • +Mdo 14:19; 2 Kor. 4:8, 9

2 Wakorinto 6:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 4:13; Ufu 2:9

2 Wakorinto 6:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Tumesema waziwazi.”

2 Wakorinto 6:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Hatukose nafasi kwa ajili ya.”

  • *

    Ao “upendo wenu mwororo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 12:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/1/2007, uku. 9-10

2 Wakorinto 6:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ninyi pia mupanuke.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Pe. 2:17; 1 Yo. 4:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2009, uku. 20-21

    1/1/2007, uku. 9-11

    1/10/2004, uku. 16-17

    Amuka!,

    3/2006, uku. 9

    Huduma ya Ufalme,

    5/2004, uku. 4

2 Wakorinto 6:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Musiunganishwe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:32, 33; Kum 7:3, 4; 1 Fal. 11:4; 1 Kor. 7:39
  • +Yak 4:4
  • +Efe 5:7, 8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Upendo wa Mungu,” uku. 113

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2010, uku. 27

    1/5/2007, uku. 15-16

    1/7/2004, uku. 30-31

    15/10/2003, uku. 32

    Vijana Huuliza, uku. 34

2 Wakorinto 6:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Linatokana na neno la Kiebrania lenye kumaanisha “Mutu Bure.” Linatumiwa ili kumutaja Shetani.

  • *

    Ao “mutu muaminifu.”

  • *

    Ao “eko.”

  • *

    Ao “muamini iko na fungu gani.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 4:10; Ufu 12:7, 8
  • +1 Kor. 10:21

2 Wakorinto 6:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 10:14
  • +1 Kor. 3:16
  • +Kut 29:45
  • +Law. 26:11, 12; Eze 37:27

2 Wakorinto 6:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 52:11; Yer 51:45; Ufu 18:4
  • +Eze 20:41; 2 Kor. 7:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2006, uku. 27-31

2 Wakorinto 6:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:14
  • +Isa 43:6; Ho 1:10; Yoh 1:12

Maandiko ingine

2 Wakorintho 6:12 Kor. 5:20
2 Wakorintho 6:1Rom. 2:4
2 Wakorintho 6:2Isa 49:8
2 Wakorintho 6:31 Kor. 9:22
2 Wakorintho 6:42 Kor. 4:1, 2
2 Wakorintho 6:42 Kor. 11:23
2 Wakorintho 6:5Ufu 2:10
2 Wakorintho 6:52 Kor. 11:25, 27
2 Wakorintho 6:6Kol 3:13; 1 Tes. 5:14
2 Wakorintho 6:6Efe 4:32
2 Wakorintho 6:6Rom. 12:9
2 Wakorintho 6:71 Kor. 2:4, 5
2 Wakorintho 6:72 Kor. 10:4; Efe 6:11
2 Wakorintho 6:92 Kor. 4:10, 11
2 Wakorintho 6:9Mdo 14:19; 2 Kor. 4:8, 9
2 Wakorintho 6:10Flp 4:13; Ufu 2:9
2 Wakorintho 6:122 Kor. 12:15
2 Wakorintho 6:131 Pe. 2:17; 1 Yo. 4:20
2 Wakorintho 6:14Kut 23:32, 33; Kum 7:3, 4; 1 Fal. 11:4; 1 Kor. 7:39
2 Wakorintho 6:14Yak 4:4
2 Wakorintho 6:14Efe 5:7, 8
2 Wakorintho 6:15Mt 4:10; Ufu 12:7, 8
2 Wakorintho 6:151 Kor. 10:21
2 Wakorintho 6:161 Kor. 10:14
2 Wakorintho 6:161 Kor. 3:16
2 Wakorintho 6:16Kut 29:45
2 Wakorintho 6:16Law. 26:11, 12; Eze 37:27
2 Wakorintho 6:17Isa 52:11; Yer 51:45; Ufu 18:4
2 Wakorintho 6:17Eze 20:41; 2 Kor. 7:1
2 Wakorintho 6:182 Sa. 7:14
2 Wakorintho 6:18Isa 43:6; Ho 1:10; Yoh 1:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wakorinto 6:1-18

Ya Pili kwa Wakorinto

6 Kwa kuwa tunafanya kazi pamoja naye,+ tunawaomba ninyi pia musikubali fazili zenye hazistahiliwe za Mungu kisha mukose kusudi lake.+ 2 Kwa maana anasema: “Katika wakati wenye kukubalika nilikusikia, na katika siku ya wokovu nilikusaidia.”+ Angalia! Sasa ndio wakati wenye kukubalika kabisa. Angalia! Sasa ndiyo siku ya wokovu.

3 Hatutoe sababu yoyote ya kukwaza kwa njia yoyote, ili kosa lolote lisipatikane katika utumishi wetu;+ 4 lakini katika kila njia tunajipendekeza sisi wenyewe kuwa watumishi wa Mungu,+ kwa kuvumilia mambo mengi, kwa taabu, kwa nyakati za uhitaji, kwa magumu,+ 5 kwa kupigwa, kwa kufungwa katika gereza,+ kwa machafuko, kwa kazi ya nguvu, kwa kukosa usingizi usiku, kwa nyakati za kukosa chakula;+ 6 kwa utakaso, kwa ujuzi, kwa uvumilivu,+ kwa fazili,+ kwa roho takatifu, kwa upendo wenye hauna unafiki,+ 7 kwa kusema maneno ya kweli, kwa nguvu za Mungu;+ kupitia silaha za haki+ katika mukono wa kuume* na wa kushoto,* 8 kupitia utukufu na haya, kupitia habari ya mubaya na habari ya muzuri. Tunaonwa kuwa wenye kudanganya lakini tunasema kweli, 9 kama wenye hawajulikane lakini tunatambuliwa, kama wenye kufa* lakini angalia! tunaishi,+ kama wenye kupewa azabu* lakini hatujatolewa kwenye kifo,+ 10 kama wenye kuwa na huzuni lakini wenye kufurahi sikuzote, kama maskini lakini wenye kufanya watu wengi kuwa matajiri, kama wenye hawana kitu chochote na bado wenye kuwa na vitu vyote.+

11 Tumefungua kinywa chetu ili kusema* na ninyi, ninyi Wakorinto, na tumefungua wazi moyo wetu. 12 Hatufinywe katika* upendo wetu kuwaelekea ninyi,+ lakini ninyi mumefinywa katika upendo wenu wenye upole* kutuelekea sisi. 13 Kwa hiyo, kwa kujibu⁠—⁠ninasema kama na watoto wangu⁠—⁠ninyi pia mufungue mioyo yenu wazi.*+

14 Musifungwe nira yenye haiko sawa pamoja* na watu wenye hawako waamini.+ Kwa maana kuko uhusiano gani kati ya haki na uvunjaji wa sheria?+ Ao mwangaza uko na upatano gani na giza?+ 15 Zaidi ya hayo, kuko upatano gani kati ya Kristo na Beliali?*+ Ao muamini* iko* na ushirika gani* na mutu mwenye haiko muamini?+ 16 Na hekalu la Mungu liko na makubaliano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu la Mungu mwenye kuishi;+ kama vile Mungu alisema: “Mimi nitakaa katikati yao na kutembea katikati yao,+ na nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+ 17 “‘Kwa hiyo, mutoke katikati yao na mujitenge,’ ni vile Yehova* anasema, ‘na muache kugusa kitu kichafu’”;+ “‘na mimi nitawakaribisha ninyi ndani.’”+ 18 “‘Na nitakuwa baba kwenu,+ na ninyi mutakuwa wana na mabinti kwangu,’+ ni vile Yehova,* Mweza-Yote anasema.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine