Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Kumbukumbu la Torati

      • Pasaka; Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu (1-8)

      • Sikukuu ya Majuma (9-12)

      • Sikukuu ya Vibanda (13-17)

      • Kuweka waamuzi (18-20)

      • Vitu vya ibada vyenye kukatazwa (21, 22)

Kumbukumbu la Torati 16:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza B15.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:14; Law. 23:5; Hes 9:2; 28:16; 1 Kor. 5:7
  • +Kut 34:18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1948, 2052

Kumbukumbu la Torati 16:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 26:17
  • +Kut 12:5, 6; 2Nya 35:7
  • +1 Fal. 8:29

Kumbukumbu la Torati 16:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:3; Law. 23:6; Hes 28:17; 1 Kor. 5:8
  • +Kut 12:33
  • +Kut 12:14; 13:8, 9

Kumbukumbu la Torati 16:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:15; 13:7
  • +Kut 12:10; 34:25

Kumbukumbu la Torati 16:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:3, 6; Hes 9:2, 3; Mt 26:19, 20

Kumbukumbu la Torati 16:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:8; 2Nya 35:13
  • +Yoh 2:13; 11:55

Kumbukumbu la Torati 16:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:16; Law. 23:8

Kumbukumbu la Torati 16:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Mundu ni kisu chenye kujikunja chenye kinatumiwa ili kuvuna.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:16; 34:22; Law. 23:15

Kumbukumbu la Torati 16:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 28:26
  • +Kum 16:17; 1 Kor. 16:2; 2 Kor. 8:12

Kumbukumbu la Torati 16:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “milango yako mikubwa.”

  • *

    Ao “yatima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:5-7

Kumbukumbu la Torati 16:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:7; Kum 5:15

Kumbukumbu la Torati 16:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Makao ya Muda.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:16; Law. 23:34; Hes 29:12; Kum 31:10, 11; Yoh 7:2

Kumbukumbu la Torati 16:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:12; Ne 8:10, 17; Mhu. 5:18

Kumbukumbu la Torati 16:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 23:36, 40; Ne 8:18
  • +Kum 7:13; 28:8; 30:16
  • +Flp 4:4; 1 Tes. 5:16

Kumbukumbu la Torati 16:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Makao ya Muda.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:14, 15
  • +Kum 16:10
  • +Kum 16:13

Kumbukumbu la Torati 16:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Kor. 8:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Ufalme wa Mungu Unatawala!, uku. 196-197

Kumbukumbu la Torati 16:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ndani ya milango yako yote mikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 18:25, 26; Kum 1:16; 2Nya 19:4, 5

Kumbukumbu la Torati 16:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kata-midomo.”

  • *

    Ao “kata-midomo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:2; Law. 19:15
  • +Kum 1:17
  • +Kut 23:8; 1 Sa. 12:3; Mhu. 7:7

Kumbukumbu la Torati 16:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mik 6:8

Kumbukumbu la Torati 16:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:13

Kumbukumbu la Torati 16:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:24; Law. 26:1; Kum 12:3

Maandiko ingine

Kum. 16:1Kut 12:14; Law. 23:5; Hes 9:2; 28:16; 1 Kor. 5:7
Kum. 16:1Kut 34:18
Kum. 16:2Mt 26:17
Kum. 16:2Kut 12:5, 6; 2Nya 35:7
Kum. 16:21 Fal. 8:29
Kum. 16:3Kut 13:3; Law. 23:6; Hes 28:17; 1 Kor. 5:8
Kum. 16:3Kut 12:33
Kum. 16:3Kut 12:14; 13:8, 9
Kum. 16:4Kut 12:15; 13:7
Kum. 16:4Kut 12:10; 34:25
Kum. 16:6Kut 12:3, 6; Hes 9:2, 3; Mt 26:19, 20
Kum. 16:7Kut 12:8; 2Nya 35:13
Kum. 16:7Yoh 2:13; 11:55
Kum. 16:8Kut 12:16; Law. 23:8
Kum. 16:9Kut 23:16; 34:22; Law. 23:15
Kum. 16:10Hes 28:26
Kum. 16:10Kum 16:17; 1 Kor. 16:2; 2 Kor. 8:12
Kum. 16:11Kum 12:5-7
Kum. 16:12Kut 3:7; Kum 5:15
Kum. 16:13Kut 23:16; Law. 23:34; Hes 29:12; Kum 31:10, 11; Yoh 7:2
Kum. 16:14Kum 12:12; Ne 8:10, 17; Mhu. 5:18
Kum. 16:15Law. 23:36, 40; Ne 8:18
Kum. 16:15Kum 7:13; 28:8; 30:16
Kum. 16:15Flp 4:4; 1 Tes. 5:16
Kum. 16:16Kut 23:14, 15
Kum. 16:16Kum 16:10
Kum. 16:16Kum 16:13
Kum. 16:172 Kor. 8:12
Kum. 16:18Kut 18:25, 26; Kum 1:16; 2Nya 19:4, 5
Kum. 16:19Kut 23:2; Law. 19:15
Kum. 16:19Kum 1:17
Kum. 16:19Kut 23:8; 1 Sa. 12:3; Mhu. 7:7
Kum. 16:20Mik 6:8
Kum. 16:21Kut 34:13
Kum. 16:22Kut 23:24; Law. 26:1; Kum 12:3
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Kumbukumbu la Torati 16:1-22

Kumbukumbu la Torati

16 “Shika mwezi wa Abibu* na ufanye Pasaka kwa ajili ya Yehova Mungu wako,+ kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Yehova Mungu wako alikutosha Misri usiku.+ 2 Na utamutolea Yehova Mungu wako zabihu ya toleo la Pasaka,+ kutoka katika kundi na mifugo,+ mahali kwenye Yehova atachagua jina lake likae.+ 3 Haupaswe kula kitu chochote chenye kuwa na chachu pamoja na toleo hilo;+ kwa siku saba (7) unapaswa kula mikate yenye haina chachu, mikate ya mateso, kwa sababu ulitoka haraka katika inchi ya Misri.+ Fanya vile siku zote za maisha yako ili ukumbuke siku yenye ulitoka katika inchi ya Misri.+ 4 Unga wowote wenye ulifinyangwa na wenye kuwa na chachu haupaswe kupatikana katika eneo lako lote kwa siku saba (7),+ wala nyama yoyote yenye utatoa zabihu mangaribi ya siku ya kwanza haipaswe kubakia usiku wote mupaka asubui yenye kufuata.+ 5 Hautaruhusiwa kutoa zabihu ya toleo la Pasaka katika muji wowote tu katikati ya miji yenye Yehova Mungu wako anakupatia. 6 Lakini itafanywa mahali kwenye Yehova Mungu wako atachagua jina lake likae. Utatoa zabihu ya toleo la Pasaka mangaribi kisha tu jua kushuka,+ wakati wenye uliwekwa wa kutoka kwako Misri. 7 Unapaswa kupika na kula toleo hilo+ mahali kwenye Yehova Mungu wako atachagua,+ na asubui unaweza kurudia kwenye mahema yako. 8 Kwa siku sita (6) utakula mikate yenye haina chachu, na siku ya saba (7) kutakuwa mukusanyiko mukubwa kwa ajili ya Yehova Mungu wako. Haupaswe kufanya kazi yoyote.+

9 “Utahesabia majuma saba (7). Unapaswa kuanza kuhesabia majuma saba kuanzia wakati unatia mundu* kwa mara ya kwanza kwenye nafaka yenye kusimama.+ 10 Kisha utafanya Sikukuu ya Majuma kwa ajili ya Yehova Mungu wako+ kupitia toleo la kujipendea kutoka katika mukono wako, lenye utatoa kulingana na namna Yehova Mungu wako anakubariki.+ 11 Na unapaswa kushangilia mbele ya Yehova Mungu wako, wewe na mutoto wako mwanaume, mutoto wako mwanamuke, mutumwa wako mwanaume, mutumwa wako mwanamuke, Mulawi mwenye kuwa ndani ya miji yako,* mukaaji mugeni, mutoto mwenye hana baba,* na mujane, wenye kuwa katikati yako, mahali kwenye Yehova Mungu wako atachagua jina lake likae.+ 12 Kumbuka kama ulikuwa mutumwa katika Misri,+ na ushike na kutenda masharti haya.

13 “Unapaswa kufanya Sikukuu ya Vibanda*+ kwa siku saba (7) wakati unakusanya kutoka katika kiwanja chako cha kupigia-pigia nafaka na kutoka katika kikamulio chako cha mafuta na divai. 14 Shangilia wakati wa sikukuu yako,+ wewe na mutoto wako mwanaume, mutoto wako mwanamuke, mutumwa wako mwanaume, mutumwa wako mwanamuke, Mulawi, mukaaji mugeni, mutoto mwenye hana baba, na mujane, wenye kuwa ndani ya miji yako. 15 Kwa siku saba (7) utamufanyia Yehova Mungu wako sikukuu+ mahali kwenye Yehova atachagua, kwa maana Yehova Mungu wako atabariki mazao yako yote na mambo yote yenye utafanya,+ na utakuwa mwenye furaha tu.+

16 “Mara tatu (3) kwa mwaka, wanaume wako wote wataonekana mbele ya Yehova Mungu wako mahali kwenye atachagua: kwenye Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu,+ Sikukuu ya Majuma,+ na Sikukuu ya Vibanda,*+ na mutu yeyote katikati yao asionekane mbele ya Yehova mikono wazi. 17 Zawadi yenye kila mutu ataleta italingana na baraka zenye Yehova Mungu wako amekupatia.+

18 “Unapaswa kuweka waamuzi+ na maofisa kwa ajili ya kila kabila katika miji yote* yenye Yehova Mungu wako anakupatia, na wanapaswa kuhukumu watu kwa hukumu yenye haki. 19 Haupaswe kupotosha hukumu,+ kuonyesha upendeleo,+ wala kukubali rushwa,* kwa maana rushwa* inapofusha macho ya wenye hekima+ na inageuza maneno ya wenye haki. 20 Haki⁠—haki ndiyo unapaswa kufuatilia,+ ili uendelee kuishi na kuriti inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia.

21 “Hautapanda muti wa namna yoyote ili ukuwe muti mutakatifu*+ karibu na mazabahu ya Yehova Mungu wako yenye utajitengenezea.

22 “Wala hautajisimamishia nguzo takatifu,+ kitu chenye Yehova Mungu wako anachukia.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine